Muna Love athibitisha baba wa mtoto wake Patrick
July 3 2018 story ambayo imeshika vichwa vya habari kwenye
mitandao ya kijamii ni kuhusu kifo cha mtoto wa muigizaji Muna love ambaye
mtoto wake ambaye alikuwa akimuuguza nchini Kenya alifariki jana july 3 2018.
sasa utata uliojitokeza ni kuhusu baba wa mtoto huyo ni nani? hii ni baada tu
ya mtu mmoja aiywaye Peter kujitokeza na kudai mtoto ni wake huku akisema yeye
ataweka msiba nyumbani mwananyamala.
Hii imeleta utata kwani wengi walikuw wakifahamu kuwa mtoto
ni wa Mtangazaji Caston Dickson.
Sasa Mama wa mtoto huyo kupitia account yake ya Instagram
akimaliza utata huo ambapo ameyaandika haya
AMAN JAMAN 😭😭😭😭😭😭NAOMBA NIMZIKE MTOTO WANGU
😭😭😭😭VAENI VIATU VYANGU KUNA SIRI KUMBWA AMJAWAH KUIJUA NAWAOMBA NIMZIKE
MTOTO WANGU ALAFU NDO MNITUKANE MIMI 😭😭😭😭😭😭NAUMIA JAMAN NAMUHESHIMU PETER
SIWEZ KUWEKA KITU APA MANA NTAMWAIBISHA....SIWEZI KUMSEMA CASTO MANA YE ANAJUA
WAPI ALIKOSEA NAWAOMBENI JAMAN NAOMBA NATAKA KUMZIKA MWANANGU MIAKA 2
NAHANGAIKA NA PAT WANGU 😭😭😭😭😭😭😭😭 NIMALIZE KUMZIKA NIONGEE NYIWE
WANAWAKE MNAONIHUMUKU VAENI VIATU VYA SIRI NIZIZOHIFADHI ...BABAWA MTOTO NI
CASTO INATOSHA 😭😭😭😭😭😭😭😭NITUKANENI MIMI NIFE ILA PATI NI KIONGOZI
ALIENIONGOZA NIONE MAISHA MAPYA NA NIMJUE MUNGU ...NITALIA MILELE MIMI PATI
WANGU😭😭😭😭😭😭😭😭LEO WANAKUGOMBANIA MWAANANGU NATAMANI URUDI MARA MOJA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭...
MWANANGU NTALETA IJUMAA
NA NTAMZIKA JUMAMOSI😭😭😭😭😭MSIBA UKO KWANGU MBEZI BEACH.
******AMEANDIKA HAYO @munalove100KATIKA UKURASA WAKE WA INSTAGRAM BAADA YA KUWEPO SINTO FAHAMU KUHUSU NANI BABA WA MTOTO PATRICK.
MWANANGU NTALETA IJUMAA
NA NTAMZIKA JUMAMOSI😭😭😭😭😭MSIBA UKO KWANGU MBEZI BEACH.
******AMEANDIKA HAYO @munalove100KATIKA UKURASA WAKE WA INSTAGRAM BAADA YA KUWEPO SINTO FAHAMU KUHUSU NANI BABA WA MTOTO PATRICK.
No comments: