Header Ads

Ona vituko vya huyu jamaa aiseee "Atapata tabu sana"



Hii ni kutokea Buguruni, Dar es salaam amabapo Pamoja na watu kuwekewa Daraja katika kando za barabara ili kupunguza ajali na juhudi za kuziba ili watu wapite darajani wasipate ajali, bado kuna watu ambao hawataki kutumia daraja hilo kama unavyoweza kujionea katika picha hii

No comments:

Powered by Blogger.