Rais Magufuli alivyoguswa na huyu dada mlemavu
Rais Dkt. John Magufuli amemchangia kiasi cha
shilingi milioni 10 msichana Wakonta Kapunda kutoka Tanzania anayeandika kwa
kutumia ulimi wake ambaye pia ni miongoni mwa washindi washindano la kuandika
wazo la biashara lililoandaliwa na Dkt. Reginald Mengi...Comment neno la
***HONGERA kumpongeza Wakonta kwa ushindi huo wa kuandika kwani wapi vijana
wengi wenye mikono inayofanya kazi wameshindwa Hata kushiriki.
No comments: