Ungekuwa ni wewe ungefanyaje?
NAOMBA USHAURI ,
Naandika ujumbe wakati tone la chozi lanitoka,
Kila nikifikiria na nikikumbuka tulipotoka,
Mimi na huyu nimwitae mpenzi wangu,
Ni karibu miaka 5 sasa amekuwa wangu,
Lakini muda wote huo ni yamejitokeza mengi,
Amenisaliti mara nyingi na kwa wanaume wengi,
Kwakuwa nampenda huyu binti, nilimwambia sana sana kuwa abadilike,
Lakini sasa nahisi nimeingia choo cha kike,
Amekuwa ni mtu wa tamaa kumtamani kila mwanaume,
Sijui ni dhiki ya pesa au hamu ya mashine!
Japo najitahidi kila tendo kumk.ojoza,
Ila mwenzangu anajitahid sana kuniliza,
Ni karibu mara ya 6 au 7 sasa,
Kwa yeye kwa wanaume wengine kunasa,
Naombeni ushauri wenu wadau nifanyaje na bado nampenda?
Nimtulizeje?
Naandika ujumbe wakati tone la chozi lanitoka,
Kila nikifikiria na nikikumbuka tulipotoka,
Mimi na huyu nimwitae mpenzi wangu,
Ni karibu miaka 5 sasa amekuwa wangu,
Lakini muda wote huo ni yamejitokeza mengi,
Amenisaliti mara nyingi na kwa wanaume wengi,
Kwakuwa nampenda huyu binti, nilimwambia sana sana kuwa abadilike,
Lakini sasa nahisi nimeingia choo cha kike,
Amekuwa ni mtu wa tamaa kumtamani kila mwanaume,
Sijui ni dhiki ya pesa au hamu ya mashine!
Japo najitahidi kila tendo kumk.ojoza,
Ila mwenzangu anajitahid sana kuniliza,
Ni karibu mara ya 6 au 7 sasa,
Kwa yeye kwa wanaume wengine kunasa,
Naombeni ushauri wenu wadau nifanyaje na bado nampenda?
Nimtulizeje?
No comments: