Mkuu mpya wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya ameamuru kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Tudeley,Jensen Natal na mwanasheria wa kampuni hiyo,Edward Mroso kwa tuhuma za kukosesha kodi serikali ya zaidi ya sh Mil 700.
BREAKING NEWS: Vigogo wawili watiwa mbaroni Hai
Reviewed by Mwandishi
on
16:28
Rating: 5
No comments: