Header Ads

Mtuhumiwa wa mauaji alawitiwa Gerezani


Unaambiwa kwamba Mtuhumiwa wa kwanza Dedrick William aliyeshtakiwa kwa mauaji ya Marehemu Xxxtentacion aripotiwa kulawitiwa akiwa gereza la Broward County na taarifa za harakaharaka zinahusisha kundi la Kodak Black  kuhusika na ishu hiyo .

Inaripotiwa kuwa Derick William alikuwa akioga ndipo watu wakamvamia na kumfanyia kitendo hicho na wengine kudai kuwa kutokana na ukaribu aliokuwa nao Marehemu Xxxtentacion na kundi la Kodak Black huenda wakahusika mojamoja na tukio hilo.
Kuna uthubitisho wa message zinazodaiwa kuwa zilitumwa na mmoja wa askari wa gereza hilo la Broward County na kitendo hicho kusemekana kilipangwa kufanyika siku ya kuuaga mwili wa Marehemu Xxxtentacion.

Endelea kukaa karibu na Uhondo Habari ili uwe wa kwanza kujipatia updates zote kali za duniani,


No comments:

Powered by Blogger.